Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi Cheti cha Shukurani Meneja wa Benki
ya Watu wa Zanzibar Limited,(PBZ) Juma Amour, kwa Mchango wa Benki
hiyo kuchangia Kombe la Mapinduzi Cup.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.akimkabidhi Cheti cha Shukurani Ibrahim Raza wa
Kampuni ya Hassan & Sons, kwa Mchango wa Kampuni hiyo kuchangia
Kombe la Mapinduzi Cup,hafla ilifanyika Ikulu Mjini Zanzibar.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Mapinduzi CUp na Wahisani waliochangia Kombe la Mapinduzi CUP,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,alipokuwa akizungumza nao leo Ikulu Mjini Zanzibar,pia Kukabidhi Vyeti vya Shukurani kwa michango mbali mbali
iliyotolewakufanikisha Mashindano hayo.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Mapinduzi CUp na Wahisani waliochangia Kombe la Mapinduzi CUP,wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,alipokuwa akizungumza nao leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza laMapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na Uongozi wa
Mapinduzi CUP ulipofika Ikulu Mjini Zanzibar,kupata kupata nasaha
pamoja na kukabidhi vyeti vya Shukurani kwa wahisani waliochangia
kufanikisha mashindano ya Kombe la Mapinduzi CUP.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Wizara
ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo na Wahisani waliochangia Kombe
la Mapinduzi CUP,walipofika ikulu kwa kupewa Shukurani kwa michango
yao leo Ikulu Mjini Zanzibar.
Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Wizara
ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo na Wahisani waliochangia Kombe
la Mapinduzi CUP,walipofika ikulu kwa kupewa Shukurani kwa michango
yao leo Ikulu Mjini Zanzibar.
Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
No comments:
Post a Comment