HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » CAMEROON WAONGEA NA WAANDISHI WA HABARI LEO DAR

 Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar .
 Nahodha wa Stars, Juma Kaseja akizungumza na waandishi wa habari leo Dar.
 Kocha wa timu ya Taifa ya Cameroon, Jean Paul akizungumza na waandishi wa habari. Kushoto ni Meneja wa timu hiyo, Rigobert Song na Nahodha wa timu hiyo, Pierre Wome.
 Meneja wa timu ya Cameroon, Rigobert Song (katikati) akiingia katika Ofisi za TFF wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo.
  Meneja wa timu hiyo, Rigobert Song akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari. Katikati ni kocha Mkuu wa timu hiyo, Jean Paul na nahodha, Pierre Wome
  Picha na Dande Junior wa Habari Mseto Blog

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: