Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha kwa ajili ya Kitambulisho cha Taifa wakati alipokamilisha taratibu za kupatiwa Kitambulisho cha Taifa nyumbani kwake asubuhi ya Ijumaa, Februari Mosi, 2013.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akitia saini baada ya
kuthibitisha maelezo yake binafsi kwenye Fomu ya Kitambulisho cha Taifa
wakati alipokamilisha taratibu za kupatiwa Kitambulisho hicho nyumbani
kwake jijini Dar es salaam , Ijumaa, Februari Mosi, 2013. Kushoto ni
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Bwana
Dickson E Maimu.
No comments:
Post a Comment