Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Februari 6, 2013 katika maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania jijini
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman, Jaji Kiongozi Mhe Fakihi Jundu, Jaji January Msofe, Spika Anne Makinda, Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Mathias
Chikawe na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Saidi Mecky Sadik
Februari 6, 2013 baada ya kuhutubia katika maadhimisho ya Siku ya
Sheria
nchini nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania jijini
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mchungaji Christopher Mtikila , Februari 6, 2013 baada ya kuhutubia katika maadhimisho ya Siku ya
Sheria nchini nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania jijini. Kushoto ni Jaji
Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman
Viongozi wa dini ya Kihindu wakielekea kwenye kipaza sauti ili kuomba dua Februari 6, 2013 wakati wa maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini nje ya
Mahakama Kuu ya Tanzania jijini. Viongozi wa dini za Kiislamu na
Kiktristo pia walishiriki kwenye maadhimisho hayo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na majaji wakuu wastaafu na viongozi wengine Februari 6, 2013 katika maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania jijini
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wanasheria Februari 6, 2013 katika maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania jijini
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Februari 6, 2013 katika maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania jijini
No comments:
Post a Comment