HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » TID NA WEMA SEPETU WAONGOZA KUWA NA KURA NYINGI ZA KUIWAKIRISHA TANZANIA BIG BROTHER 2013

Tid na Wema Sepetu ndiyo mastaa wa Tanzania wanaopendekezwa zaidi kuiwakirisha Tanzania mwaka huu katika jumba la Big Brother Africa. Inasemekana kuwa Wema Sepetu ambae amesha wahi kuwa miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu ameonekana kinyemela akiwa katika office za DSTV kwenda kuchukua form hizo za ushiriki. 
Na sasa anaesubiriwa ni Tid kama na yeye pia atajiunga na Wema kuchukua form hizo kama alivyo kuwa amesema baada ya kuulizwa na chombo kimoja cha habari. Form hizo ndizo zinazo kuwezesha upate nafasi ya kushindania mapesa hayo ya BBA. Wengine wanaopendekezwani ni Lisa Jensen na Fezza Kessy.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: