HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » YALIYOJIRI YA LEO IKULU YA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Elimu,Sayansi  na Utamaduni (UNESCO) Irina Bokovas,akiwa na ujumbe wake.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akisalimiana na Dk.Rawya Saud Al Busaid,Waziri wa Elimu ya Juu wa Nchini Oman.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,(kulia) akizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Elimu,Sayansi  na Utamaduni (UNESCO) Irina Bokovas.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,(kulia) akizungumza na  Waziri wa Elimu ya Juu wa Nchini Oman, Dk.Rawya Saud Al Busaid.
 
 Picha zote na Ramadhan Othman, Ikulu

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: