Marehemu mama mzazi akiwa na mwanae Cyrill, Cyrill
alisema mwanzoni wakati anaanza muziki, alitumia pesa nyingi sana
ndogondogo kutoka kwa mama yake kwa ajili ya kuingia studio kurekodi
lakini mama yake alikua hajui hizo pesa zinatumika kufanya nini, baadae
sana ndio akaambiwa ukweli.(Picha na Millad Ayo)
Masanja Mkandamizaji ni miongoni mwa wasanii wachache waliojitokeza,
alishiriki kwenye shughuli mbalimbali kila alipoona anahitajika kufanya
hivyo
Kiongozi wa dini akimwombea marehemu wakati wa mazishi ya mama yake na Cyrill
Cyrill akiweka maua kwenye kabuli la mama yake mpendwa
Mama mzani wa marehemu akiweka mchanga ndani ya kabuli la mwanane
Cyrill akimwaga mchanga kwenye kabuli la mama yake mpendwa
Cyrill akiwa kwenye wimbi la mawazo maana ni kama haamini kama mama yake mzazi kamzika



















No comments:
Post a Comment