HII NDIO HALI HALISI YA TABU YA USAFIRI WA DAR

 Abiria wakipanda Daladala kwa kugombea ili kupanda gari la mbezi mwisho

Mwanadada akipanda daladala kwa kupitia dirishani baada ya kuona mlangoni hapawezi

 Wakazi wa Mbagara wakigombania roly la mchanga kutoka kariakoo kuelekea mbagara.je hii itaisha lini?

No comments

Powered by Blogger.