Timu zikiingia uwanjani.
Kikosi cha Yanga SC |
Kocha wa Simba, Patrick Liewig |
Kocha wa Yanga, Ernst Brandts |
Beki
wa Simba, Musa Mudde (kushoto) akichuana na mshambuliaji wa Yanga,
Didier Kavumbagu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara
uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo.
Beki wa Simba, Shamte Ramadhani akimtoka mshambuliji wa Yanga, Simon Msuva
Shabiki wa Yanga akipelekwa kupewa huduma ya kwanza baada ya kuzimia wakati mchezo ukiendelea.
Beki wa Simba, Shomari Kapombe akimtoka mshambuliji wa Yanga, Simon Msuva
Kipa wa Simba, Juma Kaseja akijaribu bila
mafanikio kuokoa mpira wa kichwa uliopigwa na mshambuliaji wa Yanga, Didier
Kavumbagu katika mchezo wa kufunga pazia la Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika
kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo.
Mshambuliaji wa Simba, Felix Sunzu akitafuta mbinu za kuwatoka mabeki wa Yanga.
Mashabiki wa Yanga.
Raha ya ushindi.
Kocha wa Yanga, Ernst Brandts akiwa amebebwa na wachezaji wake.
Kiduku
Mashabiki wa Yanga wakiwa wamembeba mshambuliaji
wa Simba, Mrisho Ngasa mara baada ya mpira kumalizika, ikiwa ni ishara ya
kumkaribisha katika klabu yao.
Mashabiki wa Yanga.
Nahodha
wa Yanga, Nadir Haroub 'Canavaro' akiwa amenyanyua kombe la Ubingwa wa
Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara pamoja na wachezaji wenzake.
Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia ubingwa
wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuifunga Simba 2-0 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es
Salaam
Mashabiki
wa Yanga wakiwa wamembeba mshambuliaji wa Simba, Mrisho Ngasa mara
baada ya mpira kumalizika, ikiwa ni ishara ya kumkaribisha katika klabu
yao.
Refa
wa mechi ya Simba na Yanga, Nartin Saanya akiwa chini baada ya kugongwa
kwa bahati mbaya na mchezaji wa Yanga, Didier Kavumbagu.
No comments:
Post a Comment