HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » BREAKING NEWZZZZZ:ARUSHA HALI TETE MABOMU YANALINDIMA MUDA HUU,



HII IMETOKANA NA MVUTANO ULIOPO KATI YA WANANCHI NA SERIKALI JUU YA SEHEMU YA KUAGIA MIILI YA MAITI WALIO KUFA KUTOKANA NA MLIPUKO WA BOMU JUZI

Sababu ya kutumia nguvi hii hapa
Jeshi la polisi limekipiga marufuku chama cha demokrasia na maendelo(CHADEMA)kufanya shughuli zozote za kuaga miili ya marehemu kwenye viwanja vya Soweto kwani zoezi la uchunguzi bado linaendelea kwenye viwanja hivyo .

Akizungumza ofisini kwake kamanda wa polisi mkoani Arusha, Liberatus Sabas amesema kutokana na uchunguzi unaoendelea wa tukio la bomu kwenye viwanja hivyo imeonelea kuwa si busara kuweka mkusanyiko wa watu kwani kutaharibu upelelezi.



«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: