HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MEYA WA MJI WA KAMPALA, UGANDA ARUSHIWA CHA MACHOZI NA FFU TIZAMA VIDEO YAKE


Meya wa mji wa Kampala bwana Erias Lukwago, amelazwa hospitalini nchini Uganda, baada kutumbukizwa cha machozi ndani ya gari lake,inasemekana polisi wa kutuliza ghasia FFU nchini Uganda ndio waliosika na kutumbikiza kombora la kutoa machozi katika gari la mheshimiwa huyo.
Walioshudia tukio hilo wanasema mmojawapo wa FFU a.k.a( kina ras makunja)
alitumbikiza kombora katika gari la mheshimiwa na kumsababishia maumivu makali.
Meya huyo alikuwa katika maandamano mjini Kamapala 
Tizama video yake hapa chini

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: