HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » TIZAMA MAZISHI YA ALIYEKUWA KATIBU WA CHADEMA KATA YA SOKONI ONE ALIYEKUFA KATIKA MLIPUKO WA MBOMU


WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wakiongozwa na Grace  Kiwelu (Viti Maalum) na Godbless Lema (Arusha Mjini) wakiwa wamebeba mwili wa aliyekuwa   Katibu wa CHADEMA Kata ya Sokoni One, marehemu Judith William Moshi, aliyeuwawa kwa    bomu kwenye mkutano wa kampeni za chama hicho, Jumamosi iliyopita, Juni 15, 2013. Judith   alizikwa jana kwenye makaburi ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Sokoni one,   mjini Arusha. 
Viongozi wa chama cha CHADEMA, ndugu na jama wakiwa kwenye shughuli ya mazishi ya aliyekuwa   Katibu wa CHADEMA Kata ya Sokoni One, marehemu Judith William Moshi, aliyeuwawa kwa    bomu kwenye mkutano wa kampeni za chama hicho, Jumamosi iliyopita, Juni 15, 2013. 

Mwili wa marehemu wa aliyekuwa   Katibu wa CHADEMA Kata ya Sokoni One, marehemu Judith William Moshi ukiombewa kwa ajiri ya mazishi
Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Judith William Moshi, aliyeuwawa kwa    bomu kwenye mkutano wa kampeni za chama hicho ukizikwa na wananchama na wananchi kwenye makaburi ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Sokoni one,   mjini Arusha. 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freman Mbowe na Mh. Sugu wakiweka mchanga kwenye kaburi la aliyekuwa   Katibu wa CHADEMA Kata ya Sokoni One, marehemu Judith William Moshi

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: