headlines

HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » LADY GAGA AVALISHWA PETE YA NDOA NA JAMAA ALIYEPIGA KAMBI HOTELINI ALIPOFIKIA MSANII HUYO
VIJIMAMBO

 Huyu ndiye aliyepiga kambi kwenye hoteli aliyofikia Lady Gaga jina lake alikufahamika kirahisi na kutaka kuonana na msanii huyo ili amvalishe pete ya ndoa (Engagement Ring). Kwa wapenzi wa msanii huyo walisema Lady Gaga alivyosikia hivyo alishuka na kumsikiliza jamaa huyo na kukubali kufanya yote aliyoambiwa na jamaa huyo na kusema  “But I smell.” To which she replied, “Don’t worry, I smell too.” She gave the man a rose, some money, and posed for a series of pictures with him.
Lady Gaga alitoka hotelini hapo na kuonana naye na jamaa huyo kutaka kumvalisha pete huku wakipiga picha ya ukumbusho na Lady Gaga alikubali kufanyiwa hivyo.
Lady Gaga akivalishwa pate ya Ndoa(Engagement Ring) 

Endelea kutizama tukio zima kwa kubofya hapa chini



Wakiwa kwenye picha ya pamoja

SOURCE: PIX GROVE

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: