HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MAADHIMISHO YA MASHUJAA MKOA WA MTWARA YALIVYOFANYIKA


 Viongozi mbalimbali wa Serikali Mkoani Mtwara Julai 25, 2013 waliungana na watazania wote katika maadhimisho ya siku ya Mashujaa iliyofanyika Mkoani humo katika Makaburi ya Mashujaa hao ambao wengi wao walishiriki Vita vya Ukombozi huko Msumbiji. 

Maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Makaburi ya Naliendele, yaliongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Mstaafu, Simba Kalia pamoja na wakuu wa Wilaya mbalimbali za mkoa huo, Meya na Madiwani.
Mkuu wa Wilaya ya Masasi, Farida Mgomi (mbele) akipita na viongozi wenzake wa Mtwara katika makaburi hayo ya Mashujaa Naliendele.
Endelea kusoma habari hii kwa kubofya hapa chini

 DC Magala wa Wilaya ya Newala akipita katika makaburi hayo ya mashujaa pamoja na viongozi wengine mbalimbali wa Mkoa wa Mtwara. 
 Wakuu wa Wilaya wakipewa maelezo mbalimbali ya Mashujaa hao.
 DC wa Newala, Christopher Magala akiongozwa kuelekea katika uwanja wa maadhimisho hayo.
Wakuu wa Wilaya za Mkoa wa Mtwara wakifuatilia hotuba za maadhimisho hayo.
DC wa Masasi,Farida Mgomi (kushoto) akifuatilia maadhi,misho hayo kwa umakini na kushoto kwake ni DC wa Mtwara, Wilman Kapenjama Ndile akiteta jambo na DC wa Newala, Christofa Magala.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: