HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MAN UNITED YACHAPWA 3-1 NA SEVILLA


 Marin akifunga (HM)

MAMBO yameendelea kuwa magumu katika hatua za mwanzoni kwa kocha David Moyes, baada ya leo Manchester United kuchapwa mabao 3-1 na Sevilla katika mechi maalumu ya kumuaga Rio Ferdinand Uwanja wa Trafford.

Endelea kusoma habari hii kwa kubofya hapa chini
Katika mchezo huo ulioshuhudiwa na mashabiki zaidi ya 40,000, mabao ya Sevilla yamefungwa na Perotti dakika ya 21, Marin dakika ya 25 na Rabello dakika ya 91, wakati bao la kufutia machozi la United limefungwa na Valencia dakika ya 65.
 

Kikosi cha Manchester United kilikuwa; De Gea, Fabio, Ferdinand, Smalling, Buttner, Valencia/Carrick dk65, Anderson/Giggs dk65, Cleverley/Jones dk46, Januzaj, Kagawa/Zaha dk65 na Henriquez/Lingard dk46.
 

Sevilla: Beto, Figueiras, Fazio, Pareja/Puerto dk56, Alberto, Medel, Kondognbia, Marin, Perotti, Vitolo na Bacca.
 Chanzo: sportmail

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: