HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » WAKAZI WA MAGOMENI WAONGOZA KUCHAFUA BARABARA MPYA ZINAZOJENGWA ONA HAPA

 Katika hali isiyo yakawaida wakazi wa magomeni waishio katikati ya mwembe chai na kagera katika barabara ya morogoro wamekuwa sio waelewa kabisa na kutokubali wala kufata amri za viongozi wao wa mtaa,ukiangalia ukuta umeandikwa ONYO USITUPE TAKATAKA HAPA FAINI ELFU HAMSINI UKIKAMATWA  kwa kuwa kiswahili kigumu sana wao wakatupa takataka pembeni kidogo ya eneo hilo ambapo kuna ujenzi wa barabara mpya ya magari yaendayo kasi,kiukweli huu sio uugwana kabisa wakazi wa magomeni hamjafanya poa kabisa...... angalia picha zaidi. 

Endelea kutizama picha kwa kubofya hapa chini




Picha Zote na hyperhk 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: