HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » KIJANA HUYU ANAYESADIKIKA KUMUUA MKE WAKE ANATAFUTWA NA POLISI HUKO KAWE

Huyu ndiye Musa Senkando,Mume wa Marehemu Yusta Mkali anaesadikika kufanya mauaji hayo na anatafutwa na polisi.Picha chini ni Marehemu Yusta Mkali aliyepoteza Maisha Kwa Kuuliwa na Mumewe Musa Senkando (Pichani Juu)
Marehemu Yusta Mkali enzi za uhai wake.
Polisi wa kituo cha kawe akiukagua mwili wa marehemu Yusta Mkali.
 ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI


 Mwili wa Marehemu Yusta Mkali ukitolewa kwenda kuhifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala
 Wakazi wa Kawe wakiwa na nyuso za huzuni wakati mwili wa marehemu Yusta Mkali ukitolewa ndani kwenda kuhifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala.

PAMOJA  BLOG INATOA POLE KWA NDUGU,JAMAA, MARAFIKI WA MAREHEMU YUSTA MKALI KWA KUONDOKEWA NA NDUGU, KIPENZI CHAO. 

CHANZO: MTAA KWA MTAA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: