HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » PICHA TISA ZA VIONGOZI WA VYAMA VYA UPINZANI WALIPOKUTANA KUPINGA KATIBA MPYA

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akifafanua jambo wakati vyama vya upinzani vya Chadema, NCCR-Mageuzi na CUF  vilipokutuna  jijini Dar es Salaam na kutoa tamko la ushirikiano juu ya mustakabali wa mchakato wa katiba mpya, baada ya kupitishwa kinyemela kwa muswada wa marekebisho ya sheria ya mabadiliko ya katiba. Kushoto ni Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia na Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba.  (Picha na Francis Dande)
Mboweakiendelea kufafanua jambo
 
 ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI



Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba akizungumza jambo walipokutana  jijini Dar es Salaam na kutoa tamko la ushirikiano juu ya mustakabali wa mchakato wa katiba mpya, baada ya kupitishwa kinyemela kwa muswada wa marekebisho ya sheria ya mabadiliko ya katiba.



Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia akizungumza jambo walipokutana  jijini Dar es Salaam na kutoa tamko la ushirikiano juu ya mustakabali wa mchakato wa katiba mpya, baada ya kupitishwa kinyemela kwa muswada wa marekebisho ya sheria ya mabadiliko ya katiba.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: