HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » UTAFITI: SIZE YA ‘KORODANI’ INA UHUSIANO NA JINSI BABA ANAVYOHUSIKA KWENYE MALEZI YA MTOTO


Waswahili wanasema ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi lakini wanasayansi wanasema ukubwa wa Korodani za mwanaume (testicles) si kigezo cha uanaume kamili katika kujihusisha na majukumu ya baba na ulezi.
Wanayasansi wamegundua uwepo wa uhusiano mkubwa kati ya size ya korodani za baba na jinsi alivyo active katika kukuza watoto wake.
Watafiti kwenye chuo kikuu cha Emory cha Marekani, wamedai kuwa wanaume wenye korodani (map***bu) ndogo, wako tayari kuhusika kwenye shughuli kama za kumbadilisha mtoto nepi, kumlisha au kumuogesha.

Source: BBC News

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: