Siku tatu baada ya Kimbunga hicho kinachosemekana kuwa kibaya zaidi
kushuhudiwa katika historia ya nchi hiyo , waathiriwa wako katika hali
mbaya.

Hapa katika mji wa Guiuan , mkoa wa Samar, wakaazi wanajisaidia kadri ya
uwezo wao , wakichukua chakula na hata kufanya msako katika moja ya
majumba yaliyosalia kusimama baada ya kimbunga
ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI
Kuna afueni kwa wachache waliofika katika mkoa huu wa Lloilo, huku helikopta zikiwasili na msaada zaidi
Nchi kadhaa zimeahidi kutoa msaada zaidi, lakini huku barabara zikiwa
zimezibwa na viwanja vya ndege kuharibiwa, tatizo litakuwa msaada huo
kuwafikia watu wanaouhitaji zaidi
BBC SWAHILI






No comments:
Post a Comment