HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » BAADA YA KUTOKEA KIMBUNGA NCHINI UFILIPINO SASA WANANCHI WAAZA KUPATIWA MISAADA

 Siku tatu baada ya Kimbunga hicho kinachosemekana kuwa kibaya zaidi kushuhudiwa katika historia ya nchi hiyo , waathiriwa wako katika hali mbaya. 

 Hapa katika mji wa Guiuan , mkoa wa Samar, wakaazi wanajisaidia kadri ya uwezo wao , wakichukua chakula na hata kufanya msako katika moja ya majumba yaliyosalia kusimama baada ya kimbunga 

ENDELEA KUSOMA  HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI
 
 Kuna afueni kwa wachache waliofika katika mkoa huu wa Lloilo, huku helikopta zikiwasili na msaada zaidi
Nchi kadhaa zimeahidi kutoa msaada zaidi, lakini huku barabara zikiwa zimezibwa na viwanja vya ndege kuharibiwa, tatizo litakuwa msaada huo kuwafikia watu wanaouhitaji zaidi 

BBC SWAHILI

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: