HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » BREAKING NEWS: VIKOSI VYA ULINZI NA USALAMA ZANZIBAR VIMEKAMATA KONTENA LENYE MENO YA TEMBO

Picha kutoka maktaba
Vikosi vya Ulinzi na Usalama Zanzibar vimefanikiwa kukamata kontena la futi 40 likiwa limepakia meno ya Tembo  yaliohifadhiwa katika mifuko ya naolini yenye ujazo wa kilo 50 yakiwa katika mpango wa kusafirishwa nje ya nchi. Idadi kamili na thamani ya meno hayo bado haijafahamika.
 CHANZO: MWANANCHI

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: