HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » TAJI LA MISS UNIVERSE 2013 LAENDA VENEZUELA



Mlimbwende Gabriela Isler, ambaye ni Miss Universe Venezuela 2013, anavishwa taji na  Olivia Culpo, Miss Universe 2012, kwenye fainali za Miss Universe katika ukumbi wa  Crocus City Hall jijini Moscow, Russia, usiku wa kuamkia leo. Kwa ushindi huo Venezuelan imeshashinda mataji 7 ya Miss Universe, 6 ya Miss World, 6 Miss International na 1 la Miss Earth.

 Bongo bado tupo tupo kwanza, ingawa mwakilishi wetu Betty Boniface kajitahidi sana kwa mavazi ya nyumbani na pozi za kimataifa kama inavyoonesha hapo chini. 

ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI

 Betty alitinga na mavazi ya Tingatinga mkeka wa ukindu
Vazi la Batik na urembo wa Kimasai vilimtoa vilivyo. 

 PICHA NA MICHUZI BLOG

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: