HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » HII NDIO ALAMU YA SAA ISIYOPIGA KELELE NA KUSUMBUA WATU WENGINE

"Earlarm Device" ni kifaa kilichotengenezwa nchini Korea Kusini na Kyungmi Moon akishirikiana na wenzake  Doyun Kim na Jinyong Park. Kifaa hiki cha "Earlarm Device" kimetengenezwa ili alamu inapotoa sauti isimsumbue mtu yeyote bali mtu husika tu. Alamu hii iliyopewa jina la Earlarm ambayo inakuwa na headphone ambazo zinakuwa zimeunganishwa kwa kutumia broototh ya Simu ambayo ni smartphone. 
Alamu hii imetengenezwa kwa kuunganishwa kwenye aplication  za simu za smartphone ambazo zinaweza kutoa taarifa kwa muhusika bila kumsumbua mtu mwingine. 

 ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI


 Headphone hizo huvaliwa masikioni  ambapo zinakuwa zimeunganishwa kwenye saa ya alamu kwa kupitia broototh ya simu. Hivyo mtu anapolala kama anatakiwa kuamka muda fulani huweza kumwamsha bila kuwapigia kelele wenzake. 

DAILY MAIL

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: