HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » TIMU YA TANZANIA YATWAA KOMBE LA DUNIA LA WATOTO WA MTAANI

 Timu ya mpira wa miguu ya Watoto wa Mtaani ya Tanzania imetwaa Kombe la Dunia kwa watoto wa mtaani baada ya kuilaza timu ya Burundi bao 3-1 kwenye fainali iliyopigwa Rio de Janeiro nchini Brazil jana.
Katika mechi za mwanzo, Tanzania ilitoka sare ya mabao 2-2 na Burundi, ikaitandika Argentina mabao 3-0, ikailaza Nicaragua mabao 2-0, ikafungwa na Philippines mabao 2-0, ikaizima Indonesia katika robo fainali kwa jumla ya mabao 5-3 na ikaichapa Marekani 6-1 katika nusu fainali.

 ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI

Watoto hao ambao ni mabingwa wakishangilia na kiongozi wao, Mutani Yangwe

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: