
Watu
Watatu wamekutwa na tukio la kufukiwa na kifusi maeneo ya machimbo ya
kifusi huko Bunju , watu hao walikuwa wakichimba kwa bahati mabaya
udongo ukamong'onyoka na kuwafukia, wananchi mbali mbali walijitokeza na
kusaidia zoezi la uokoaji kwa bahati mbaya wote walipatwa wakiwa
wameshafariki.

Shughuli ya uokoaji ikiendelea.
ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI




No comments:
Post a Comment