Baadhi ya watuhumiwa wanaodaiwa kujihusisha na vitendo vya ugaidi katika
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakisindikizwa na askari wa Kikosi cha Kutuliza
Ghasia (FFU), kuingia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam Julai
17,2014 kusomewa mashitaka yao. Watuhumiwa 16 walisomewa mashitaka.PICHA NA PHILEMON SOLOMON
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakiimarisha ulinzi.
ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KBOFYA HAPA CHINI
Watuhumiwa wakiingia ndani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Watuhumiwa wakipelekwa maabusu baada yakusomewa mashitaka yao.
No comments:
Post a Comment