Washiriki wa Miss Tanzania USA Pageant wakifuatilia jambo kutoka kushoto ni Maria Rutayuga, Mercy Sukaya na Grace Mlingi.
ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI
Kushoto ni Pendo Rancy mmoja ya waratibu akimsikiliza mmoja ya washiriki wa Miss Tanzania USA Pageant (hayupo pichani) huku Maria Rutayuga akifuatilia kwa makini.
Pendo Rancy akiwaeleza jambo washiriki wa miss Tanzania Usa Pageant walipokua wakijinoa mwisho mwisho kwa ajili ya Jumamosi Aug 30, 2014 watakapo washa moto kumtafuta miss Tanzania USA Pageant mpya.
Kutoka kushoto ni Maria Rutayuga kuotoka Maryland, Jesca Kalemera kutoka New Jersey, Mercy Sukaya kutoka Michigan na Grace Mlingi kutaoka Maryland.
Washiriki wakimsikiliza mmoja ya waratibu alipokua akiwaelekeza jambo kwenye hotel waliyofikia ya Double Tree iliyopo Dwntown Silver Spring.




No comments:
Post a Comment