HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » WANANCHI WAJICHOTEA MAFUTA BAADA YA LORI LA MAFUTA KUPATA AJALI

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 
Ajali hiyo ya Lori la Mafuta lililokuwa likielekea Nchini Rwanda, imetokea Septemba 28,2014,eneo maarufu la Machinjioni-barabara ya Benaco - Rusumo wilayani Ngara mkoani Kagera ambapo chanzo chake ni kufeli mfumo wa breki.
Licha ya kujeruhi utingo mkononi na kuleta uharibifu wa barabara kwa mafuta iliyobeba ya diseli kumwagika,baadhi ya Wananchi walikosa uzalendo kwa kuiba mafuta yote yaliyokuwa katika tenki la lori hilo.

ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI




«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: