MKUTANO MKUU WA PILI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA AKIBA NA MIKOPO TCRA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu. 


 Meneja Wa Chama Cha Ushirika wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Bw.Damai J Mapunda Akitoa Muongozo Jinsi gani Mkutano Utakavyo Endeshwa  
Mwenyekiti Wa Chama Cha Ushirika cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Bw. Erasmo A.Mbilinyi Akiwasilisha taarifa aliyo iandaa kwa kipindi Cha November 2013 Hadi September 2014 Katika Mkutano Huo

 Makamu Mwenyekiti Mpya Bi.Mabel Masas Ambapo Chama Cha TCRA SACOSS kiliweza kufanya Uchaguzi Katika Kuendeleza Kuimarisha Chama Na Kisheria Za Chama
Bw.Damian.F.Mashauri Mkaaguzi wa COASCO Ambaye aliwakilisha kwaniaba ya wakaguzi wengine Wanaofanya kazi za Ukaguzi katika Vyama Vya Usharika Hapo akitoa Taarifa ya Ukaguzi katika Mkutano waTCRA SACOS
 Dk. Raymond Mfungahema ambaye aliwakilisha ripoti ya upande wa wajumbe wakamati ya usimamizi waSACOSS ya TCRA
Washarika wakiendelea kufuatilia kwa umakini Mkutano huo
 Miongoni Mwa Wanachama Cha  Ushirika cha TCRA  walio weza kuhudhuriaMkutano wa Pili  
 Bw.Charlse Thomas Mjumbe wa Bodi Akisisitiza jambo katika mkutano huo
 Bw.Abduh Husein Akitoa mchango wake wa mawazo katika Mkutano huo
 Wanachama wakiwa katika mkutano 
 Bw.Francis MAYILA. akiwa ni Mwana Kamati Ya Usimamizi akichangia Maada Iliyokuwa ikiendelea Katika Mkutano huo
 Masai John Masai  Akiomba Kura  Ya kuchaguliwa Katika Nafasi ya Kuwa Mjumbe Wa Bodi na Hatimaye kuweza Kunyakuwa Nafasi hiyo Baada ya Wanachama Kumpigia Kura 
 Afisa Ushirika Kinondoni Philipo Emannuel Akitoa nasaha katika mkutano huo uliofanyika Katika Ukumbi wa TCRA
Omary Mkamba  Afisa Usharika Ambaye Ndiye Aliyekuwa Akiendesha Maada zote zilizo kuwa Zikiendelea Katika Mkutano Huo

No comments

Powered by Blogger.