UPDATES: MAHAKAMA KUU IMESIMAMISHA MJADALA WA RIPOTI YA ESCROW KUJADILIWA BUNGENI

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.

Tumepata taarifa muda huu kutoka kwa mtu aliyeko Mahakama Kuu kuwa kutokana na taarifa iliyokuwa inaelezwa kuwa jopo la majaji watatu wa Mahakama Kuu watasikiliza kesi iliyofunguliwa na IPTL na PAP kuzuia bunge kujadili suala la Escrow.



Imeamriwa na Mahakama Kuu chini ya jopo la majaji watatu kuwa wamesimamisha mjadala wa Ripoti ya Escrow hadi hoja za msingi zitakapo fanyiwa kazi.

CHANZO: ITV TANZANIA

No comments

Powered by Blogger.