KAMANI AFUNGUA SEMINA KUHUSU MAKABILA YA ASILI

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


  001
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Dk Titus Kamani akifungua semina ya siku mbili ya kimataifa inayozungumzia makabila ya asili, haki zao na namna ya kuboresha maisha na mifumo ya chakula . Semina hiyo inayofanyika Hoteli ya Kunduchi jijini Dar es Salaam inajiandaa kwa kongamano la dunia nzima kuhusiana na jamii za asili ambalo litafanyika Roma Italia, Februari 2015.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).
002
Mwakilishi Shirika la Kimataifa la maendeleo ya Kilimo, IFAD, Bw.Francisco Pichon akisisitiza jambo wakati wa kongamano hilo.

003
Washiriki wa semina hiyo kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika wakisikiliza kwa makini mada mbalimbali zilizotolewa kuhusu haki za makabila ya asili na namna ya kuboresha maisha yao na mifumo ya chakula .
004
005
006
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Dk Titus Kamani (Mb) akiwa kwenye picha ya pamoja na wadau wa kongamano hilo.

No comments

Powered by Blogger.