KAMATI KUU YA CHADEMA YAKUTANA LEO

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiwa katika Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Chadema jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbroad Slaa, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti wa Chadema Zanzibar, Said Issa Mohamed na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Prof. Abdallah Safari.  (Picha na Francis Dande)
 Katibu Mkuu wa Bawacha, Grace Tendega akizungumza wakati wa Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Chadema.
Wajumbe wa Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Chadema wakiwa katika mkutano.

No comments

Powered by Blogger.