HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » TANGAZO KWA WANAKAGERA KUTOKA KWA MKUU WA MKOA MH.JOHN MONGELLA KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mh. John Mongella anawaalika wanakagera na wadau wote wa maendeleo kuhudhuria kikao cha Wanakagera kitakacho fanyika siku ya Ijumaa tarehe 24/04/2015 katika ukumbi wa Chichi Hotel iliyopo Kinondoni (Biafra) jijini Dar es Salaam.
Kikao kitaanza saa 1:00 jioni.

Nyote mnakaribishwa kushiriki naye katika kujadili na kutathmini maendeleo ya mkoa wa Kagera

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: