TIMU YA ZANZIBAR DIASPORA USA YANYAKUA KOMBE LA MUUNGANO WASHINGTON DC, KWA USHINDI WA MABAO 7-1 DHIDHI YA TANGANYIKA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Kikosi cha timu ya Tanganyika 
Katika shamrashamra za kusherehekea Miaka 51 kuungana Tanganyika na Zanzibar na kuwa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Timu ya Zanzibar Diaspora​ nchini Marekani imeifunga bao 7-1 jirani zake timu ya Tanganyika USA.
Tanganyika na Zanzibar kama ishara ya Muungano

No comments

Powered by Blogger.