IDADI YA VIFO KUTOKANA NA JOTO NCHINI INDIA IMEFIKIA WATU 800

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.




 Idadi ya vifo kutokana na joto nchini India imefikia watu 800, huku kiwango cha joto katika taifa hilo kikifikia nyuzi joto 50 katika baadhi ya maeneo.
 Vifo vingi vimetokea katika majimbo la kusini la Telangana pamoja na Andhra Pradesh, ambako zaidi ya watu 750 wamekufa tangu wiki iliyopita.
 Watu wengine 24 wamekufa kutokana na joto kali katika maeneo ya West Bengal pamoja na Orissa.


 Hospitali zimetakiwa kuwa katika tahadhari ya kutibu wagonjwa wa moyo na mamlaka zimewataka watu kukaa nyumbani.


No comments

Powered by Blogger.