Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Filiberto Sebregondi akizungumza katika moja ya vituo vya radio jamii Ifakara.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez pamoja na Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Filiberto Sebregondi wakiuliza maswali kwenye moja ya vituo vya radio za jamii Ifakara jana.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez pamoja na Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Filiberto Sebregondi wakiwa katika kituo cha Redio Pambazuko Mjini Ifakara walipotembelea radio za kijamii na kujua namna zinazofanya kazi kwa jamii.



No comments:
Post a Comment