HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » KIJANA ANAYESADIKIKA KUWA MWIZI APOKEA KICHAPO CHA NGUVU

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.

 Hapa akipelekwa eneo ambalo ameiba baada ya kukamatwa wakati anakimbia eneola mtaa wa Uhuru, Mwenge jijini Dar
 
 Kibaka akiwa amekula kichapo cha maana baada ya kukamatwa na Laptop za wizi.
 Mama Aliyevaa Kilemba aliyemshika mtu anayesemekana ni mwizi akitoa ufafanuzi kwa majirani wa eneo hilo leo kuhusu wizi ulivyotokea katika mtaa wa uhuru eneo la Mwenge jijini Dar
 Laptop ambazo alikuwa amekamatwa nazo
 Kibaka akielezea kabla ya wananchi wenye hasira kali hawajaanza kumpa kichapo
 Hapa ndipo alipo banjua kabla ya kuiba
 Hizi ndizo Nyenzo zake alizokuwa akitumia wakati wa uharifu wake..

Picha na Dar es salaam yetu Blog

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: