Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.

Mwanamke raia wa Tanzania aliyejulikana kwa jina la Chambo Fatma Basil, amekamatwa katika uwanja wa ndege wenye harakati nyingi wa Mumbai nchini India akiwa na kilo 74 za dawa za kulevya aina ya methaqualone.
Maafisa wa Uhamiaji na wa Usalama walimkamata mwanamke huyo, Jumatano akiwa na paspoti ya Tanzania akijianda kuja Dar es Salaam kupitia Doha, baada ya kupatiwa taarifa za kiitelijensia.



No comments:
Post a Comment