HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » UN KUSAFISHA KILIMANJARO

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.

FullSizeRender_1
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akimkaribisha Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Bw. Alvaro Rodriguez alipomtembelea kwa ajili ya mazungumzo.
Mratibu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania Bw. Alvaro Rodriguez, alikutana na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bw. Leonidas Gama na kufanya naye mazungumzo.
Miongoni mwa mambo waliyojadili ni maandalizi ya shughuli na matukio kuadhimisha miaka 70 ya Umoja wa Mataifa (UN@70 ).
DSC_0046
Katika mazungumzo yao walikubaliana kufanya shughuli ya upandaji miti kuzunguka Mlima Kilimanjaro na kusafisha sehemu ya mji kabla ya Siku ya Umoja wa Mataifa.
Mkuu wa mkoa alikubaliana na wazo hilo na kusema shughuli hiyo inafaa kufanyika katikati ya mwezi wa Agosti.

FullSizeRender_3
Wawili hao wakipiga picha ya pamoja.
FullSizeRender_4
Wakiagana.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: