HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI DK. JULIANA PALANGYO AKUTANA NA KAMPUNI YA ORYX ENERGIES

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya nishati Dk. Juliana Palangyo akiendesha kikao kati ya kampuni ya nishati ya Oryx Energies yenye makazi yake jijini Geneva, Switzerland pamoja na watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini. Lengo la kikao hicho lilikuwa ni kujadili utendaji kazi wa kampuni hiyo nchini.
Mkurugenzi Mtendaji kutoka kampuni ya Oryx Energies, Philippe Cortes (kushoto) akifafanua shughuli zinazofanywa na kampuni hiyo nchini Tanzania kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya nishati Dk. Juliana Palangyo (kulia) katika kikao hicho.
Mkurugenzi Mtendaji kutoka kampuni ya Oryx Energies, Philippe Cortes akifafanua jambo katika kikao hicho.
Mkurugenzi Mtendaji kutoka kampuni ya Oryx Energies, Philippe Cortes (kushoto) akimwelekeza jambo Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya nishati Dk. Juliana Palangyo (kulia) katika kikao hicho.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: