HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» » TETEMEKO KUBWA LA ARDHI LAIKUMBA ITALIA WATU ZAIDI TA 10 WAHOFIA KUFA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Tetemeko la ardhi limetokea katika enao la kati la Italia na kuuwa watu wapatao 10 na wengine kadhaa wamefunikwa na vifusi.


Tetemeko hilo lenye ukupwa wa kipimo cha alama 6.2 limetokea kusini mashariki mwa mji wa Perugia.
  Mtu akiangua kilio akiwa juu ya kifusi cha jengo lililoanguka
  Polisi na vikosi vya uokoaji vikiwa vimeubeba mwili wa mtu 


Vikosi vya uokoaji vikimuokoa mwanamke aliyekwama juu ya jengo lililoathiriwa na tetemeko.



  


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: