HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» » Ruby adaiwa kunasa ujauzito

Hii ni moja ya picha ya msanii huyo aliyoianika mtandaoni
Ikiwa amekaa kimya kwa muda mrefu bila kutoa ngoma wala video, kuna taarifa zimeibuka kuwa msanii wa muziki Ruby ni mama kijacho.
Kwa mujibu wa vyanzo vya yetu vimeeleza kuwa mkali kutoka Bongo amekuwa kimya kutokana na kuwa ni mama kijacho,na hata ukipita katika baadhi ya picha zake katika mitandao unaona amekuwa akiongelea kuhusu suala la kuwa mama na kuweka picha za ujauzito.

Husna Abdul, Tunda na Linah Sanga
Endapo kama kweli ni mama kijacho msanii huyo atakuwa ameingia kwenye orodha ya watu maarufu wenye vibendi, kama vile Tunda, Linah Sanga, Husna Abduli na wengineo.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: