HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» » » Updates: Ajali ya basi yaua wawili Babati

 Basi la kampuni ya Sharon lililokuwa litatoka Dodoma kwenda Arusha, limepinduka eneo la mabanzini mjini Babati na kusababisha vifo vya watu wawili huku wengine wakijeruhiwa.
Majeruhi wa ajarili hiyo wamepelekwa hospitali ya Mrara mjini Babati.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara akizungumza na gazeti hili, Francis Massawe akizungumza juu ya ajali hiyo alisema kondakta na mtoto mdogo ndiyo walifariki.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: