Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya Snura Mushi “Snura” usiku wa kuamkia leo amezindua video ya nyimbo yake mpya ya “Zungusha” katika club ya Maisha Basement jijini Dar es Salaam. Katika uzinduzi huo Snura amefanya shoo ya nguvu na kuwakosha mashabiki wake waliofika kushuhudia shoo yake katika club hiyo.
Katika uzinduzi huo kumefanyika pia mashindano ya Kibao Kata kati ya Team Kinyama Sina na Makutunyema, katika mashindano hayo team ya Kinyama Sina ilishinda.
Katika uzinduzi huo kumefanyika pia mashindano ya Kibao Kata kati ya Team Kinyama Sina na Makutunyema, katika mashindano hayo team ya Kinyama Sina ilishinda.
No comments:
Post a Comment