HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» » » Katibu Mwenezi CCM ahamia CHADEMA

Aliyekuwa Katibu  Mwenezi wa CCM Wilaya ya Nyasa, Staniford Emmanuel amehamia Chadema kwa maelezo kuwa wakati wa ukombozi umefika.

Akizungumza mara baada ya kukabidhi kadi hiyo kwa viongozi wa Chadema, Emmanuel amesema wakati wa ukombozi umefika hivyo hana budi kuhama CCM ili aweze kutendea haki nchi yake.

“Kuna wanaCCM wenzangu bado hawajafanya maamuzi kama niliyoyafanya mimi kujiondoa na kuhamia chama cha ukombozi ambacho mimi nimekiona ni Chadema,”amesema Emmanuel.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: