HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

Tazama hapa Majina ya Wanafunzi Kidato cha Sita Waliochaguliwa Kujiunga JKT 2017



TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limechagua vijana waliohitimu Elimu ya Sekondari Kidato cha Sita kwa mwaka 2017, kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria.

Taarifa kutoka Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kuhusu wanafunzi wanaotakiwa kujiunga na Operesheni Magufuli Awamu ya Pili.

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.



TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT)