BODABODA YAGONGA DALADALA JIJINI DAR ES SALAAM, DEREVA WAKE AFA PAPOHAPO


Baadhi ya watu wakiangalia ajali ya daladala lenye namba za usajili T 871 BGY linalofanya safari zake kati ya Mwenge na Temeke lililogongana na pikipiki katika makutano ya barabara ya Chang’ombe na Nyerere jijini Dar es Salaam leo.Picha Zote na Mdau Francis Dande

No comments

Powered by Blogger.