HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » Nape Awafuturisha Mabalozi Wa Nyumba Kumi Kumi Morogoro

 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye jana aliandaa futari  kwenye ukumbi wa shule ya sekondari ya Forest kwa ajili ya mabalozi wa nyumba kumi na baadhi ya viongozi wa CCM kutoka wilaya za mkoa wa Morogoro jana jioni Agosti 17, 2012.

Wakina mama wakiomba dua kwenye shughuli ya futari iliyoandaliwa na Nape Nnauye.

Nape akiongea na Mmoja wa Waalikwa Kwenye Futari Aliyoiandaa

Nape Akizungumza Jukwaani baada ya shughuri ya Futari Kukamilika


Picha: Bashir Nkoromo.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: