Mbunge
wa jimbo la Isimani Mhe.Wiliam Lukuvi (kushoto) akipokea vitabu
kutoka kwa meneja wa mawasiliano wa PPF lulu Mengele
Mbunge
Wiliam Lukuvi (kushoto) akipokea vifaa vya michezo jezi na mipira
ambayo PPF imeitoa kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete ambaye
aliwaahidi vijana wa Pawaga vifaa hivyo ,hivyo PPF kama wajibu wake
wa kushirikiana na jamii kulazimika kutoa vifaa hivyo na vingine kwa
shule ya sekondari vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya TSh. milioni
6.8
Mbunge Lukuvi akifurahia vifaa vya PPF vilivyo tolewa jimboni kwake
Hivi ndivyo vifaa vilivyotolewa na PPF

-



No comments:
Post a Comment