RAIS WA ZANZIBAR DK ALI SHEIN AFANYA MAZUNGUMZA NA MABALOZI WA KOREA NA DENMARK IKULU YA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK. Ali Mohamed Shein, akifuatana na Balozi wa Korea nchini Tanzania, Kim Young Hoon, alipofika kumuaga Rais, Ikulu mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK. Ali Mohamed Shein, akifuatana na Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Johnny Flento,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana, baada ya mazungumzo yao.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Johnny Flento, alipofika Ikulu mjini Zanzibar jana, kwa mazungumzo na Rais
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Johnny Flento, alipofika Ikulu mjini Zanzibar jana, kwa mazungumzo na Rais
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Korea Nchini Tanzania, Kim Young Hoon,alipofika kumuaga Rais,katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar jana
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa Korea nchini Tanzania, Kim Young Hoon, alipofika kumuaga Rais, Ikulu mjini Zanzibar jana.Picha na Ramadhan Othman, Ikulu-Zanzibar

No comments

Powered by Blogger.